27 Ndipo Labani akamwambia: “Ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako,—nimezifasiri zile ishara za bahati zinazoonyesha kwamba Yehova ananibariki kwa ajili yako.”+
11 Nalo sanduku la Yehova likaendelea kukaa katika nyumba ya Obed-edomu Mgathi miezi mitatu; na Yehova akazidi kumbariki+ Obed-edomu na nyumba+ yake yote.