Mwanzo 50:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakaaji wa nchi, Wakanaani, wakawaona wakiomboleza kwenye uwanja wa kupuria wa Atadi, wakasema kwa mshangao: “Haya ni maombolezo makubwa sana ya Wamisri!” Ndiyo sababu mahali hapo paliitwa Abel-misraimu,* katika eneo la Yordani.
11 Wakaaji wa nchi, Wakanaani, wakawaona wakiomboleza kwenye uwanja wa kupuria wa Atadi, wakasema kwa mshangao: “Haya ni maombolezo makubwa sana ya Wamisri!” Ndiyo sababu mahali hapo paliitwa Abel-misraimu,* katika eneo la Yordani.