Mwanzo 50:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wakaaji wa nchi hiyo, Wakanaani, wakaona desturi za kuomboleza katika uwanja wa kupuria wa Atadi, nao wakasema: “Haya ni maombolezo makuu ya Wamisri!” Ndiyo sababu mahali hapo paliitwa Abel-misraimu, palipo katika eneo la Yordani.+
11 Nao wakaaji wa nchi hiyo, Wakanaani, wakaona desturi za kuomboleza katika uwanja wa kupuria wa Atadi, nao wakasema: “Haya ni maombolezo makuu ya Wamisri!” Ndiyo sababu mahali hapo paliitwa Abel-misraimu, palipo katika eneo la Yordani.+