-
Mwanzo 50:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 ‘Hivi ndivyo mtakavyomwambia Yosefu: “Nakusihi, tafadhali, wasamehe ndugu zako uovu wao na dhambi waliyokutendea ili kukudhuru.”’ Sasa, tafadhali, wasamehe watumishi wa Mungu wa baba yako uovu wao.” Na Yosefu akalia walipomwambia hivyo.
-