Mwanzo 50:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 ‘Mtamwambia Yosefu hivi: “Tafadhali, nakuomba, usamehe+ maasi ya ndugu zako na dhambi yao kwa kuwa wamekutendea uovu.”’+ Na tafadhali sasa, usamehe maasi ya watumishi wa Mungu wa baba yako.”+ Naye Yosefu akalia waliposema naye.
17 ‘Mtamwambia Yosefu hivi: “Tafadhali, nakuomba, usamehe+ maasi ya ndugu zako na dhambi yao kwa kuwa wamekutendea uovu.”’+ Na tafadhali sasa, usamehe maasi ya watumishi wa Mungu wa baba yako.”+ Naye Yosefu akalia waliposema naye.