Mwanzo 31:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Ndipo Raheli akamwambia baba yake: “Bwanangu, usikasirike, kwa sababu siwezi kusimama mbele yako, kwa maana niko katika siku zangu za hedhi.”*+ Kwa hiyo akaendelea kuzitafuta kwa makini lakini hakuzipata sanamu hizo za terafimu.+ Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 31:35 Ufahamu, kur. 371-372
35 Ndipo Raheli akamwambia baba yake: “Bwanangu, usikasirike, kwa sababu siwezi kusimama mbele yako, kwa maana niko katika siku zangu za hedhi.”*+ Kwa hiyo akaendelea kuzitafuta kwa makini lakini hakuzipata sanamu hizo za terafimu.+