35 Ndipo Raheli akamwambia baba yake: “Hasira isiwake machoni pa bwana wangu,+ kwa sababu mimi siwezi kusimama mbele yako, kwa maana nimepatwa na kilicho desturi kwa wanawake.”+ Kwa hiyo akaendelea kutafuta kwa uangalifu, lakini hakuzipata hizo terafimu.+