Mwanzo 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo Sara akaanza kucheka ndani yake mwenyewe,+ akisema: “Baada ya mimi kuzeeka, kweli mimi nitapata raha, tena bwana wangu akiwa mzee vilevile?”+ Mambo ya Walawi 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “‘Kila mmoja wenu anapaswa kumwogopa mama yake na baba yake,+ nazo sabato zangu mnapaswa kuzishika.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. Waefeso 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mheshimu baba yako na mama yako”;+ ambayo ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi:+
12 Kwa hiyo Sara akaanza kucheka ndani yake mwenyewe,+ akisema: “Baada ya mimi kuzeeka, kweli mimi nitapata raha, tena bwana wangu akiwa mzee vilevile?”+
3 “‘Kila mmoja wenu anapaswa kumwogopa mama yake na baba yake,+ nazo sabato zangu mnapaswa kuzishika.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.