Kutoka 8:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Musa akasema: “Sasa ninaenda zangu, nami nitamsihi Yehova, na kesho nzi wataondoka kwako Farao, kwa watumishi wako, na kwa watu wako. Lakini wewe, Ee Farao, unapaswa kuacha kutuchezea* kwa kukataa kuturuhusu kwenda kumtolea Yehova dhabihu.”+
29 Musa akasema: “Sasa ninaenda zangu, nami nitamsihi Yehova, na kesho nzi wataondoka kwako Farao, kwa watumishi wako, na kwa watu wako. Lakini wewe, Ee Farao, unapaswa kuacha kutuchezea* kwa kukataa kuturuhusu kwenda kumtolea Yehova dhabihu.”+