29 Ndipo Musa akasema: “Tazama, naondoka kwako, nami kwa kweli nitamsihi Yehova, na hakika mainzi wataondoka kwa Farao, kwa watumishi wake na kwa watu wake kesho. Ila Farao asifanye mchezo tena kwa kukataa kuwaruhusu watu waende zao kumtolea Yehova dhabihu.”+