Kutoka 12:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wakaanza kuoka mikate ya mviringo isiyo na chachu kwa kutumia unga uliokandwa waliobeba kutoka Misri. Haukuwa umetiwa chachu kwa sababu walifukuzwa ghafla kutoka Misri hivi kwamba hawakuwa wamejitayarishia chakula chochote.+
39 Wakaanza kuoka mikate ya mviringo isiyo na chachu kwa kutumia unga uliokandwa waliobeba kutoka Misri. Haukuwa umetiwa chachu kwa sababu walifukuzwa ghafla kutoka Misri hivi kwamba hawakuwa wamejitayarishia chakula chochote.+