39 Nao wakaanza kuoka unga uliokandwa waliokuwa wameuchukua kutoka Misri uwe keki za mviringo, keki zisizo na chachu, kwa sababu haukuwa umechacha, kwa sababu walikuwa wamefukuzwa kutoka Misri nao hawakuweza kukawia na pia hawakuwa wamejitayarishia vyakula vyovyote.+