Kutoka 28:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “Utatengeneza bamba linalong’aa la dhahabu safi na kuchonga maneno haya juu yake kama muhuri unavyochongwa: ‘Utakatifu ni wa Yehova.’+
36 “Utatengeneza bamba linalong’aa la dhahabu safi na kuchonga maneno haya juu yake kama muhuri unavyochongwa: ‘Utakatifu ni wa Yehova.’+