Kutoka 33:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Sasa Musa akamwambia Yehova: “Angalia, unaniambia, ‘Waongoze watu hawa,’ lakini hujaniambia ni nani utakayemtuma pamoja nami. Isitoshe umeniambia, ‘Ninakujua kwa jina* na umepata kibali machoni pangu.’
12 Sasa Musa akamwambia Yehova: “Angalia, unaniambia, ‘Waongoze watu hawa,’ lakini hujaniambia ni nani utakayemtuma pamoja nami. Isitoshe umeniambia, ‘Ninakujua kwa jina* na umepata kibali machoni pangu.’