12 Sasa Musa akamwambia Yehova: “Angalia, wewe unaniambia, ‘Waongoze watu hawa,’ lakini hujanijulisha yule ambaye utamtuma pamoja nami. Na zaidi ya hayo, wewe mwenyewe umesema, ‘Ninakujua wewe kwa jina+ na, mbali na hayo, umepata kibali machoni pangu.’