19 Kwa maana nimefahamiana naye kusudi awaamuru wanawe na nyumba yake baada yake, ndipo washike njia ya Yehova ili kutenda uadilifu na haki;+ ili Yehova apate kumtimizia Abrahamu lile alilosema juu yake.”+
19 Hata hivyo, msingi imara wa Mungu unakaa ukiwa umesimama,+ ukiwa na muhuri huu: “Yehova anawajua walio wake,”+ na: “Kila mtu anayelitaja jina la Yehova+ na aukatae ukosefu wa uadilifu.”+