Mambo ya Walawi 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Haruni akamjibu Musa: “Tazama! Leo walimtolea Yehova dhabihu yao ya dhambi na dhabihu yao ya kuteketezwa,+ na bado mambo haya yamenipata. Kama ningekula dhabihu ya dhambi leo, je, jambo hilo lingempendeza Yehova?” Mambo ya Walawi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 10:19 w11 2/15 12 Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 10:19 Mnara wa Mlinzi,2/15/2011, uku. 12
19 Haruni akamjibu Musa: “Tazama! Leo walimtolea Yehova dhabihu yao ya dhambi na dhabihu yao ya kuteketezwa,+ na bado mambo haya yamenipata. Kama ningekula dhabihu ya dhambi leo, je, jambo hilo lingempendeza Yehova?”