19 Basi Haruni akasema na Musa: “Tazama! Leo wametoa toleo lao la dhambi na toleo lao la kuteketezwa mbele za Yehova,+ kisha mambo haya yameanza kunipata; na ikiwa ningekuwa nimekula toleo la dhambi leo, je, jambo hilo lingekuwa jema machoni pa Yehova?”+