-
Mambo ya Walawi 12:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Kuhani atatoa dhabihu hizo mbele za Yehova ili kufunika dhambi ya mwanamke huyo, kisha atakuwa safi kutokana na damu yake. Hiyo ndiyo sheria kuhusu mwanamke anayezaa mtoto wa kiume au wa kike.
-