Mambo ya Walawi 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye atalitoa mbele za Yehova na kufanya upatanisho kwa ajili ya mwanamke huyo, naye atakuwa safi kutokana na chemchemi ya damu yake.+ Hiyo ndiyo sheria juu ya mwanamke anayezaa mtoto wa kiume au wa kike.
7 Naye atalitoa mbele za Yehova na kufanya upatanisho kwa ajili ya mwanamke huyo, naye atakuwa safi kutokana na chemchemi ya damu yake.+ Hiyo ndiyo sheria juu ya mwanamke anayezaa mtoto wa kiume au wa kike.