Mambo ya Walawi 15:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kuhani atamtoa ndege mmoja kwa ajili ya dhabihu ya dhambi na ndege wa pili kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa, kisha atamtolea mwanamke huyo dhabihu ya kufunika dhambi yake mbele za Yehova ili awe safi kutokana na damu yake.+
30 Kuhani atamtoa ndege mmoja kwa ajili ya dhabihu ya dhambi na ndege wa pili kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa, kisha atamtolea mwanamke huyo dhabihu ya kufunika dhambi yake mbele za Yehova ili awe safi kutokana na damu yake.+