Mambo ya Walawi 15:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Naye kuhani atamfanya mmoja kuwa toleo la dhambi na yule mwingine kuwa toleo la kuteketezwa;+ naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yake mbele za Yehova kuhusiana na mtiririko wake unaotoka ambao si safi.
30 Naye kuhani atamfanya mmoja kuwa toleo la dhambi na yule mwingine kuwa toleo la kuteketezwa;+ naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yake mbele za Yehova kuhusiana na mtiririko wake unaotoka ambao si safi.