Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘Hata hivyo, ikiwa hana uwezo wa kutoa kondoo,+ basi atamletea Yehova njiwa-tetere+ wawili au hua wawili wachanga wawe toleo lake la hatia+ kwa ajili ya dhambi ambayo ametenda, mmoja kwa ajili ya toleo la dhambi na mmoja kwa ajili ya toleo la kuteketezwa.

  • Mambo ya Walawi 14:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 mmoja wa hao anaoweza kuwapata akiwa toleo la dhambi+ na yule mwingine akiwa toleo la kuteketezwa+ pamoja na toleo la nafaka; naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili ya yule anayejitakasa mbele za Yehova.

  • Mambo ya Walawi 15:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye kuhani atawatoa, mmoja kuwa toleo la dhambi na yule mwingine kuwa toleo la kuteketezwa;+ naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele za Yehova kuhusiana na mtiririko wake unaotoka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki