31 Naye atayaondoa mafuta yake yote,+ kama mafuta yalivyoondolewa kwenye dhabihu ya ushirika;+ naye kuhani atayafukiza kwenye madhabahu yawe harufu ya kumtuliza Yehova;+ naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atasamehewa.+
7 Naye atalitoa mbele za Yehova na kufanya upatanisho kwa ajili ya mwanamke huyo, naye atakuwa safi kutokana na chemchemi ya damu yake.+ Hiyo ndiyo sheria juu ya mwanamke anayezaa mtoto wa kiume au wa kike.