Mambo ya Walawi 24:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi Musa akawaambia Waisraeli mambo hayo, wakamtoa nje ya kambi yule aliyelitukana lile Jina, wakampiga mawe.+ Kwa hiyo Waisraeli wakafanya kama Yehova alivyomwamuru Musa.
23 Basi Musa akawaambia Waisraeli mambo hayo, wakamtoa nje ya kambi yule aliyelitukana lile Jina, wakampiga mawe.+ Kwa hiyo Waisraeli wakafanya kama Yehova alivyomwamuru Musa.