Hesabu 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Wana wa Rubeni, wazao wa mzaliwa wa kwanza wa Israeli,+ waliorodheshwa kulingana na majina yao, familia zao, na ukoo wao.* Kila mwanamume mwenye umri wa kuanzia miaka 20 na zaidi ambaye angeweza kutumikia katika jeshi alihesabiwa,
20 Wana wa Rubeni, wazao wa mzaliwa wa kwanza wa Israeli,+ waliorodheshwa kulingana na majina yao, familia zao, na ukoo wao.* Kila mwanamume mwenye umri wa kuanzia miaka 20 na zaidi ambaye angeweza kutumikia katika jeshi alihesabiwa,