20 Na wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli,+ kuzaliwa kwao kulingana na familia zao katika nyumba ya baba zao, kukawa kulingana na hesabu ya majina, kichwa kwa kichwa kati yao, wanaume wote wenye umri wa miaka 20 na zaidi, kila mtu anayeingia jeshini,