Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 29:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Basi Lea akapata mimba, akazaa mwana na kisha akamwita jina lake Rubeni,+ kwa maana alisema: “Ni kwa sababu Yehova ametazama taabu yangu,+ kwa kuwa sasa mume wangu ataanza kunipenda.”

  • Mwanzo 49:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Rubeni, wewe ndiwe mzaliwa wangu wa kwanza,+ nguvu zangu na mwanzo wa nguvu zangu za uzazi,+ ubora wa heshima na ubora wa nguvu.

  • Hesabu 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Ule mgawanyo wa makabila matatu wa Rubeni+ utakuwa kuelekea kusini kwa majeshi yao, na mkuu wa wana wa Rubeni ni Elisuri+ mwana wa Shedeuri.

  • 1 Mambo ya Nyakati 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na wana wa Rubeni+ mzaliwa wa kwanza wa Israeli—kwa maana yeye alikuwa ndiye mzaliwa wa kwanza;+ lakini kwa kuwa alikitia unajisi kitanda cha baba yake,+ haki yake akiwa mzaliwa wa kwanza ilipewa wana wa Yosefu+ mwana wa Israeli, hivi kwamba yeye hakuandikishwa kiukoo kwa ajili ya haki ya mzaliwa wa kwanza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki