Hesabu 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na haya ndiyo majina ya wanaume watakaosimama pamoja nanyi: Wa Rubeni,+ Elisuri+ mwana wa Shedeuri; Hesabu 7:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Katika siku ya nne kulikuwa na mkuu wa wana wa Rubeni, Elisuri+ mwana wa Shedeuri. Hesabu 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao ule mgawanyo wa makabila matatu wa kambi ya Rubeni+ ukaondoka, kwa majeshi yao, naye Elisuri+ mwana wa Shedeuri alikuwa juu ya jeshi lake.
5 Na haya ndiyo majina ya wanaume watakaosimama pamoja nanyi: Wa Rubeni,+ Elisuri+ mwana wa Shedeuri;
18 Nao ule mgawanyo wa makabila matatu wa kambi ya Rubeni+ ukaondoka, kwa majeshi yao, naye Elisuri+ mwana wa Shedeuri alikuwa juu ya jeshi lake.