Hesabu 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Ule mgawanyo wa makabila matatu wa Rubeni+ utakuwa kuelekea kusini kwa majeshi yao, na mkuu wa wana wa Rubeni ni Elisuri+ mwana wa Shedeuri. Hesabu 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao ule mgawanyo wa makabila matatu wa kambi ya Rubeni+ ukaondoka, kwa majeshi yao, naye Elisuri+ mwana wa Shedeuri alikuwa juu ya jeshi lake.
10 “Ule mgawanyo wa makabila matatu wa Rubeni+ utakuwa kuelekea kusini kwa majeshi yao, na mkuu wa wana wa Rubeni ni Elisuri+ mwana wa Shedeuri.
18 Nao ule mgawanyo wa makabila matatu wa kambi ya Rubeni+ ukaondoka, kwa majeshi yao, naye Elisuri+ mwana wa Shedeuri alikuwa juu ya jeshi lake.