Hesabu 4:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Hao ndio walioandikishwa kutoka katika familia za Wakohathi, wote walitumikia katika hema la mkutano. Musa na Haruni waliwaandikisha kama Yehova alivyoagiza kupitia Musa.+
37 Hao ndio walioandikishwa kutoka katika familia za Wakohathi, wote walitumikia katika hema la mkutano. Musa na Haruni waliwaandikisha kama Yehova alivyoagiza kupitia Musa.+