Hesabu 4:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Hao ndio walioandikishwa+ wa familia za Wakohathi, wale wote wanaotumikia katika hema la mkutano, ambao Musa na Haruni waliwaandikisha kwa agizo la Yehova kupitia Musa.
37 Hao ndio walioandikishwa+ wa familia za Wakohathi, wale wote wanaotumikia katika hema la mkutano, ambao Musa na Haruni waliwaandikisha kwa agizo la Yehova kupitia Musa.