-
Hesabu 4:49Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
49 Waliandikishwa kama Yehova alivyoagiza kupitia Musa, kila mmoja wao kulingana na utumishi wake na mzigo aliopaswa kubeba; waliandikishwa kama Yehova alivyomwamuru Musa.
-