Hesabu 4:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Kwa agizo la Yehova waliandikishwa kupitia Musa, kila mmoja kulingana na utumishi wake na mzigo wake; nao waliandikishwa kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.+
49 Kwa agizo la Yehova waliandikishwa kupitia Musa, kila mmoja kulingana na utumishi wake na mzigo wake; nao waliandikishwa kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.+