37 Hao ndio walioandikishwa+ wa familia za Wakohathi, wale wote wanaotumikia katika hema la mkutano, ambao Musa na Haruni waliwaandikisha kwa agizo la Yehova kupitia Musa.
41 Hao ndio walioandikishwa kati ya familia za wana wa Gershoni, wale wote wanaotumikia katika hema la mkutano, ambao Musa na Haruni waliandikisha kwa agizo la Yehova.+