Hesabu 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Halafu ni lazima Mnadhiri huyo anyoe nywele za kichwa chake*+ kwenye mlango wa hema la mkutano, naye atachukua nywele hizo za Unadhiri wake na kuzitia katika moto ulio chini ya dhabihu ya ushirika.
18 “‘Halafu ni lazima Mnadhiri huyo anyoe nywele za kichwa chake*+ kwenye mlango wa hema la mkutano, naye atachukua nywele hizo za Unadhiri wake na kuzitia katika moto ulio chini ya dhabihu ya ushirika.