Hesabu 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “‘Hii ndiyo sheria inayomhusu Mnadhiri+ anayeweka nadhiri: Akiweka nadhiri na iwe kwamba anaweza kumtolea Yehova toleo ambalo halihitajiwi katika kutimiza Unadhiri wake, ni lazima atimize nadhiri yake kulingana na sheria ya Unadhiri wake.’”
21 “‘Hii ndiyo sheria inayomhusu Mnadhiri+ anayeweka nadhiri: Akiweka nadhiri na iwe kwamba anaweza kumtolea Yehova toleo ambalo halihitajiwi katika kutimiza Unadhiri wake, ni lazima atimize nadhiri yake kulingana na sheria ya Unadhiri wake.’”