Hesabu 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “‘Hiyo ndiyo sheria juu ya Mnadhiri+ ambaye ataweka nadhiri—toleo lake kwa Yehova juu ya Unadhiri wake, mbali na vile anavyoweza kupata. Kulingana na nadhiri yake atakayoweka, ndivyo anavyopaswa kufanya kwa sababu ya sheria ya Unadhiri wake.’”
21 “‘Hiyo ndiyo sheria juu ya Mnadhiri+ ambaye ataweka nadhiri—toleo lake kwa Yehova juu ya Unadhiri wake, mbali na vile anavyoweza kupata. Kulingana na nadhiri yake atakayoweka, ndivyo anavyopaswa kufanya kwa sababu ya sheria ya Unadhiri wake.’”