Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Sema na wana wa Israeli nawe utawaambia, ‘Mwanamume au mwanamke akiweka nadhiri ya pekee ya kuishi akiwa Mnadhiri+ kwa Yehova,

  • Waamuzi 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana, tazama! utachukua mimba, nawe utazaa mwana, na wembe wowote usipite juu ya kichwa chake,+ kwa maana mtoto huyo atakuwa Mnadhiri+ wa Mungu tangu atakapotoka tumboni;+ naye ndiye atakayeongoza katika kuokoa Israeli kutoka mkononi mwa Wafilisti.”+

  • Waamuzi 16:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Mwishowe akamfunulia moyo wake+ wote na kumwambia: “Wembe+ haujapita kamwe juu ya kichwa changu, kwa kuwa mimi ni Mnadhiri wa Mungu tangu tumboni mwa mama yangu.+ Nikinyolewa, hakika nguvu zangu zitanitoka, nami hakika nitakuwa dhaifu na kuwa kama wanadamu wengine wote.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki