Hesabu 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Watume wanaume wakaipeleleze nchi ya Kanaani ninayowapa Waisraeli. Mtume mwanamume mmoja kutoka katika kila kabila la baba yake, kila mmoja wao anapaswa kuwa mkuu+ katika kabila lake.”+
2 “Watume wanaume wakaipeleleze nchi ya Kanaani ninayowapa Waisraeli. Mtume mwanamume mmoja kutoka katika kila kabila la baba yake, kila mmoja wao anapaswa kuwa mkuu+ katika kabila lake.”+