Hesabu 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 mnapaswa kumtoa mnyama dume huyo pamoja na sehemu tatu za kumi za kipimo cha efa moja ya unga laini uliochanganywa na nusu ya hini ya mafuta kwa ajili ya toleo la nafaka.+
9 mnapaswa kumtoa mnyama dume huyo pamoja na sehemu tatu za kumi za kipimo cha efa moja ya unga laini uliochanganywa na nusu ya hini ya mafuta kwa ajili ya toleo la nafaka.+