Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni mtamtolea Yehova toleo hilo mbele ya madhabahu.

  • Hesabu 28:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “‘Mwanzoni mwa kila mwezi* mtamtolea Yehova dhabihu ya kuteketezwa ya ng’ombe dume wawili wachanga, kondoo dume mmoja, wanakondoo dume saba wasio na kasoro wote wa umri wa mwaka mmoja,+ 12 na toleo la nafaka la sehemu tatu za kumi za vipimo vya unga laini uliochanganywa na mafuta+ kwa ajili ya kila ng’ombe dume na toleo la nafaka la sehemu mbili za kumi za vipimo vya unga laini uliochanganywa na mafuta kwa ajili ya kondoo dume mmoja,+

  • Hesabu 29:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mtatoa vitu hivyo pamoja na dhabihu ya kuteketezwa ya kila mwezi na toleo lake la nafaka+ na dhabihu ya kuteketezwa inayotolewa kwa ukawaida pamoja na toleo lake la nafaka+ na matoleo yake ya kinywaji,+ mkifuata utaratibu wa kawaida wa kutoa dhabihu hizo, ili iwe dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayompendeza* Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki