Hesabu 16:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Mwambie Eleazari mwana wa kuhani Haruni achukue vyetezo+ hivyo kutoka motoni kwa sababu ni vitakatifu. Mwambie pia autawanye moto huo mbali kidogo na mahali hapo.
37 “Mwambie Eleazari mwana wa kuhani Haruni achukue vyetezo+ hivyo kutoka motoni kwa sababu ni vitakatifu. Mwambie pia autawanye moto huo mbali kidogo na mahali hapo.