-
Hesabu 17:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Siku iliyofuata, Musa alipoingia katika hema la Ushahidi, aliona fimbo ya Haruni ya kabila la Lawi imetokeza matumba nayo ilikuwa ikichanua maua na kuzaa matunda ya lozi yaliyoiva.
-