-
Hesabu 19:12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Mtu huyo anapaswa kujitakasa kwa maji hayo siku ya tatu, na siku ya saba atakuwa safi. Lakini asipojitakasa siku ya tatu, hatakuwa safi siku ya saba.
-