Hesabu 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mtu huyo anapaswa kujitakasa kwa maji hayo siku ya tatu,+ na siku ya saba atakuwa safi. Lakini ikiwa hatajitakasa siku ya tatu, basi siku ya saba hatakuwa safi.
12 Mtu huyo anapaswa kujitakasa kwa maji hayo siku ya tatu,+ na siku ya saba atakuwa safi. Lakini ikiwa hatajitakasa siku ya tatu, basi siku ya saba hatakuwa safi.