- 
	                        
            
            Hesabu 22:23Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
23 Punda huyo alipomwona malaika wa Yehova amesimama njiani akiwa ameshika upanga uliochomolewa, alijaribu kutoka njiani ili aingie shambani. Lakini Balaamu akaanza kumpiga punda huyo ili arudi njiani.
 
 -