-
Hesabu 22:23Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
23 Punda huyo alipomwona malaika wa Yehova amesimama njiani akiwa ameshika upanga uliochomolewa, alijaribu kutoka njiani ili aingie shambani. Lakini Balaamu akaanza kumpiga punda huyo ili arudi njiani.
-