-
Hesabu 22:34Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
34 Balaamu akamwambia malaika wa Yehova: “Nimetenda dhambi, kwa sababu sikujua kwamba ni wewe uliyesimama njiani ili kunizuia. Na sasa ikiwa hufurahii jambo hili, mimi nitarudi.”
-