Hesabu 22:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ndipo Balaamu akamwambia malaika wa Yehova: “Nimetenda dhambi,+ kwa sababu sikujua kwamba ni wewe uliyekuwa umesimama barabarani ili kukutana nami. Basi sasa, ikiwa ni vibaya machoni pako, acha nirudi zangu.”
34 Ndipo Balaamu akamwambia malaika wa Yehova: “Nimetenda dhambi,+ kwa sababu sikujua kwamba ni wewe uliyekuwa umesimama barabarani ili kukutana nami. Basi sasa, ikiwa ni vibaya machoni pako, acha nirudi zangu.”