-
Hesabu 23:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Basi akarudi na kumkuta Balaki akisubiri karibu na dhabihu yake ya kuteketezwa, na wakuu wa Moabu walikuwa pamoja naye. Balaki akamuuliza: “Yehova amesema nini?”
-